Kumbuka: F-Droid inahitaji upendeleo wa mizizi ili kusakinisha Kiendelezi cha Upendeleo kama mfumo wa "priv-app".

https://f-droid.org/packages/org.fdroid.fdroid inaweza kutumia haki za mfumo au ruhusa kusakinisha, kusasisha na kuondoa programu kivyake. Njia pekee ya kupata mapendeleo hayo ni kuwa programu ya mfumo.

Hii iko na faida kadhaa:
